1
Yohane 13:34-35
Biblia Habari Njema
Nawapeni amri mpya: Pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda nyinyi. Mkipendana, watu wote watajua kwamba nyinyi ni wanafunzi wangu.”
Параўнаць
Даследуйце Yohane 13:34-35
2
Yohane 13:14-15
Basi, ikiwa mimi niliye Bwana na Mwalimu nimewaosha nyinyi miguu, nanyi pia mnapaswa kuoshana miguu. Nimewapeni mfano, ili nanyi pia mfanye kama nilivyowafanyieni.
Даследуйце Yohane 13:14-15
3
Yohane 13:7
Yesu akamjibu, “Huelewi sasa ninachofanya lakini utaelewa baadaye.”
Даследуйце Yohane 13:7
4
Yohane 13:16
Kweli nawaambieni, mtumishi si mkuu kuliko bwana wake, wala mtume si mkuu kuliko yule aliyemtuma.
Даследуйце Yohane 13:16
5
Yohane 13:17
Basi, ikiwa mwayajua hayo, mtakuwa na heri mkiyatekeleza.
Даследуйце Yohane 13:17
6
Yohane 13:4-5
Basi, aliondoka mezani, akaweka kando vazi lake, akachukua kitambaa na kujifunga kiunoni. Kisha akatia maji katika bakuli, akaanza kuwaosha wanafunzi wake miguu na kuipangusa kwa kile kitambaa alichojifungia.
Даследуйце Yohane 13:4-5
Стужка
Біблія
Пляны чытаньня
Відэа