1
2 Nyakati 26:5
Neno: Bibilia Takatifu
Akamtafuta Mungu katika siku za Zekaria, aliyemwelekeza kumcha Mungu. Wakati wote alipomtafuta BWANA, Mungu alimfanikisha.
Compare
Explore 2 Nyakati 26:5
2
2 Nyakati 26:16
Lakini baada ya Uzia kuwa na nguvu sana, majivuno yake yakamsababishia kuanguka. Alikosa uaminifu kwa BWANA Mungu wake, naye akaingia hekaluni mwa BWANA ili afukize uvumba kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba.
Explore 2 Nyakati 26:16
Home
Bible
Plans
Videos