1
Mhubiri 11:9
Neno: Bibilia Takatifu
Furahi ewe kijana, wakati ungali kijana, moyo wako na ukupe furaha katika siku za ujana wako. Fuata njia za moyo wako na chochote macho yako yaonayo, lakini ujue kwamba kwa ajili ya haya yote Mungu atakuleta hukumuni.
Compare
Explore Mhubiri 11:9
2
Mhubiri 11:10
Kwa hiyo basi, ondoa wasiwasi moyoni mwako na utupilie mbali masumbufu ya mwili wako, kwa kuwa ujana na nguvu ni ubatili.
Explore Mhubiri 11:10
3
Mhubiri 11:4
Yeyote atazamaye upepo hatapanda, yeyote aangaliaye mawingu hatavuna.
Explore Mhubiri 11:4
4
Mhubiri 11:5
Kama vile usivyofahamu njia ya upepo, au jinsi mwili uumbwavyo ndani ya tumbo la mama, vivyo hivyo huwezi kufahamu kazi ya Mungu, Muumba wa vitu vyote.
Explore Mhubiri 11:5
5
Mhubiri 11:6
Panda mbegu yako asubuhi, nako jioni usiruhusu mikono yako ilegee, kwa maana hujui ni ipi itakayofanikiwa, kwamba ni hii au ni ile, au kwamba zote zitafanikiwa sawasawa.
Explore Mhubiri 11:6
6
Mhubiri 11:2
Wape sehemu watu saba, naam hata wanane, kwa maana hujui ni baa gani litakalokuwa juu ya nchi.
Explore Mhubiri 11:2
Home
Bible
Plans
Videos