Katika jangwa nitaotesha
mwerezi, mshita, mhadasi na mzeituni.
Nitaweka misunobari, mivinje na misanduku
pamoja huko nyikani,
ili watu wapate kuona na kujua,
wapate kufikiri na kuelewa,
kwamba mkono wa Mwenyezi Mungu umetenda hili,
kwamba yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli ndiye alilifanya.”