1
Yeremia 2:13
Neno: Bibilia Takatifu 2025
NENO
“Watu wangu wametenda dhambi mbili: Wameniacha mimi, niliye chemchemi ya maji yaliyo hai, nao wamejichimbia visima vyao wenyewe, visima vilivyobomoka, visivyoweza kuhifadhi maji.
Compare
Explore Yeremia 2:13
2
Yeremia 2:19
Uovu wako utakuadhibu; kurudi nyuma kwako kutakukemea. Basi kumbuka, utambue jinsi lilivyo jambo ovu na chungu kwako unapomwacha BWANA Mungu wako, na kutokuwa na hofu yangu,” asema Bwana, BWANA wa majeshi.
Explore Yeremia 2:19
3
Yeremia 2:11
Je, taifa limebadili miungu yake wakati wowote? (Hata ingawa hao si miungu kamwe.) Lakini watu wangu wamebadili Utukufu wao kwa sanamu batili.
Explore Yeremia 2:11
Home
Bible
Plans
Videos