1
Yohana 14:27
Neno: Bibilia Takatifu
Amani nawaachia, amani yangu nawapa, amani hii niwapayo si kama ile ulimwengu utoayo. Msifadhaike mioyoni mwenu, wala msiogope.
Compare
Explore Yohana 14:27
2
Yohana 14:6
Yesu akawaambia, “Mimi ndimi njia na kweli na uzima. Mtu hawezi kuja kwa Baba isipokuwa kwa kupitia kwangu.
Explore Yohana 14:6
3
Yohana 14:1
Yesu akawaambia, “Msifadhaike mioyoni mwenu, mnamwamini Mungu, niaminini na mimi pia.
Explore Yohana 14:1
4
Yohana 14:26
Lakini huyo Msaidizi, yaani, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwenu kwa Jina langu, atawafundisha mambo yote na kuwakumbusha yote niliyowaambia.
Explore Yohana 14:26
5
Yohana 14:21
Yeyote mwenye amri zangu na kuzishika ndiye anipendaye, naye anipendaye atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda na kujidhihirisha kwake.”
Explore Yohana 14:21
6
Yohana 14:16-17
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine akae nanyi milele. Huyo ndiye Roho wa kweli ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa sababu haumwoni wala haumjui. Ninyi mnamjua kwa kuwa yuko pamoja nanyi naye anakaa ndani yenu.
Explore Yohana 14:16-17
7
Yohana 14:13-14
Nanyi mkiomba lolote kwa Jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba apate kutukuzwa katika Mwana. Kama mkiniomba lolote kwa Jina langu nitalifanya.
Explore Yohana 14:13-14
8
Yohana 14:15
“Kama mnanipenda, mtazishika amri zangu.
Explore Yohana 14:15
9
Yohana 14:2
Nyumbani kwa Baba yangu kuna makao mengi. Kama sivyo, ningeliwaambia. Naenda kuwaandalia makao.
Explore Yohana 14:2
10
Yohana 14:3
Nami nikienda na kuwaandalia makao, nitarudi tena na kuwachukua mkae pamoja nami, ili mahali nilipo, nanyi mpate kuwepo.
Explore Yohana 14:3
11
Yohana 14:5
Tomaso akamwambia, “Bwana, sisi hatujui unakokwenda, tutaijuaje njia?”
Explore Yohana 14:5
Home
Bible
Plans
Videos