1
Zaburi 25:5
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
niongoze katika kweli yako na kunifundisha, kwa maana wewe ni Mungu Mwokozi wangu, nalo tumaini langu liko kwako wakati wote.
Compare
Explore Zaburi 25:5
2
Zaburi 25:4
Nioneshe njia zako, Ee Mwenyezi Mungu, nifundishe mapito yako
Explore Zaburi 25:4
3
Zaburi 25:14
Siri ya Mwenyezi Mungu iko kwa wale wamchao, yeye huwajulisha agano lake.
Explore Zaburi 25:14
4
Zaburi 25:7
Usizikumbuke dhambi za ujana wangu wala njia zangu za uasi, sawasawa na upendo wako unikumbuke, kwa maana wewe ni mwema, Ee Mwenyezi Mungu.
Explore Zaburi 25:7
5
Zaburi 25:3
Kamwe hakuna hata mmoja anayekutegemea atakayeaibishwa, bali wataaibishwa wafanyao hila bila sababu.
Explore Zaburi 25:3
Home
Bible
Plans
Videos