1
1 Kor 9:25-26
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Na kila ashindanaye katika michezo hujizuia katika yote; basi hao hufanya hivyo kusudi wapokee taji iharibikayo; bali sisi tupokee taji isiyoharibika. Hata mimi napiga mbio vivyo hivyo, si kama asitaye; napigana ngumi vivyo hivyo, si kama apigaye hewa
Compare
Explore 1 Kor 9:25-26
2
1 Kor 9:27
bali nautesa mwili wangu na kuutumikisha; isiwe, nikiisha kuwahubiri wengine, mwenyewe niwe mtu wa kukataliwa.
Explore 1 Kor 9:27
3
1 Kor 9:24
Je! Hamjui, ya kuwa wale washindanao kwa kupiga mbio, hupiga mbio wote, lakini apokeaye tuzo ni mmoja? Pigeni mbio namna hiyo, ili mpate.
Explore 1 Kor 9:24
4
1 Kor 9:22
Kwa wanyonge nalikuwa mnyonge, ili niwapate wanyonge. Nimekuwa hali zote kwa watu wote, ili kwa njia zote nipate kuwaokoa watu.
Explore 1 Kor 9:22
Home
Bible
Plans
Videos