1
2 Fal 18:5
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Alimtumaini BWANA, Mungu wa Israeli; hata baada yake hapakuwa na mfano wake katika wafalme wote wa Yuda, wala katika hao waliomtangulia.
Compare
Explore 2 Fal 18:5
2
2 Fal 18:6
Maana alishikamana na BWANA, hakuacha kumfuata, bali alizishika amri zake BWANA alizomwamuru Musa.
Explore 2 Fal 18:6
3
2 Fal 18:7
Naye BWANA akawa pamoja naye, kila alikokwenda alifanikiwa; tena alimwasi mfalme wa Ashuru, wala hakumtumikia.
Explore 2 Fal 18:7
Home
Bible
Plans
Videos