1
2 Fal 6:17
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Elisha akaomba, akasema, Ee BWANA, nakusihi, mfumbue macho yake, apate kuona. BWANA akamfumbua macho yule mtumishi; naye akaona; na tazama, kile kilima kilikuwa kimejaa farasi na magari ya moto yaliyomzunguka Elisha pande zote.
Compare
Explore 2 Fal 6:17
2
2 Fal 6:16
Akamjibu, Usiogope; maana walio pamoja nasi ni wengi kuliko wale walio pamoja nao.
Explore 2 Fal 6:16
3
2 Fal 6:15
Hata asubuhi na mapema mtumishi wake yule mtu wa Mungu alipoondoka, na kwenda nje, kumbe! Pana jeshi la watu, na farasi na magari, wameuzingira mji ule. Mtumishi wake akamwambia, Ole wetu! Bwana wangu, tufanyeje?
Explore 2 Fal 6:15
4
2 Fal 6:18
Na walipomtelemkia Elisha akamwomba BWANA, akasema, Uwapige, nakusihi, watu hawa kwa upofu. Akawapiga kwa upofu sawasawa na neno la Elisha.
Explore 2 Fal 6:18
5
2 Fal 6:6
Mtu wa Mungu akasema, Kilianguka wapi? Akamwonyesha mahali. Akakata kijiti, akakitupa pale pale, chuma kikaelea.
Explore 2 Fal 6:6
6
2 Fal 6:5
Lakini mmojawapo alipokuwa katika kukata boriti, chuma cha shoka kikaanguka majini; akalia, akasema, Ole wangu! Bwana wangu, kwani kiliazimiwa kile.
Explore 2 Fal 6:5
7
2 Fal 6:7
Akasema, Kiokote. Basi akanyosha mkono, akakitwaa.
Explore 2 Fal 6:7
Home
Bible
Plans
Videos