1
Isa 26:3
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Utamlinda yeye ambaye moyo wake umekutegemea Katika amani kamilifu, kwa kuwa anakutumaini.
Compare
Explore Isa 26:3
2
Isa 26:4
Mtumainini BWANA siku zote Maana BWANA YEHOVA ni mwamba wa milele.
Explore Isa 26:4
3
Isa 26:9
Kwa nafsi yangu nimekutamani wakati wa usiku; Naam, kwa nafsi yangu ndani yangu nitakutafuta mapema; Maana hukumu zako zikiwapo duniani, Watu wakaao duniani hujifunza haki.
Explore Isa 26:9
4
Isa 26:12
BWANA, utatuamuria amani; maana ni wewe pia uliyetutendea kazi zetu zote.
Explore Isa 26:12
5
Isa 26:8
Naam, katika njia ya hukumu zako Sisi tumekungoja, Ee BWANA; Shauku ya nafsi zetu inaelekea Jina lako na ukumbusho wako.
Explore Isa 26:8
6
Isa 26:7
Njia yake mwenye haki ni unyofu; Wewe uliye mnyofu wainyosha njia ya mwenye haki.
Explore Isa 26:7
7
Isa 26:5
Kwa kuwa amewashusha wakaao juu, Mji ule ulioinuka, aushusha, Aushusha hata nchi, auleta hata mavumbini.
Explore Isa 26:5
8
Isa 26:2
Wekeni wazi malango yake, Taifa lenye haki, lishikalo kweli, liingie.
Explore Isa 26:2
Home
Bible
Plans
Videos