1
Law 26:12
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Nami nitakwenda kati yenu, nami nitakuwa Mungu wenu, nanyi mtakuwa watu wangu.
Compare
Explore Law 26:12
2
Law 26:4
ndipo nitazinyesha mvua zenu kwa nyakati zake, na nchi itazaa maongeo yake, na miti ya mashambani itazaa matunda yake.
Explore Law 26:4
3
Law 26:3
Kama mkienda katika amri zangu, na kuyashika maagizo yangu, na kuyafanya
Explore Law 26:3
4
Law 26:6
Nami nitawapa amani katika nchi, tena mtalala wala hapana atakayewatia hofu; nami nitawakomesha wanyama wabaya katika nchi yenu, wala hautapita upanga katika nchi yenu.
Explore Law 26:6
5
Law 26:9
Nami nitawaelekezea uso wangu, na kuwapa uzazi mwingi, na kuwaongeza; nami nitalithibitisha agano langu pamoja nanyi.
Explore Law 26:9
6
Law 26:13
Mimi ndimi BWANA, Mungu wenu, niliyewaleta mtoke katika nchi ya Misri, ili msiwe watumwa wao; nami nimeivunja miti ya kongwa lenu, nikawaendesha mwende sawasawa.
Explore Law 26:13
7
Law 26:11
Nami nitaiweka maskani yangu kati yenu; wala roho yangu haitawachukia.
Explore Law 26:11
8
Law 26:1
Msifanye sanamu yo yote, wala msijisimamishie sanamu ya kuchonga, wala mnara, wala msiweke jiwe lo lote lililochorwa katika nchi yenu ili kulisujudia; kwa kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.
Explore Law 26:1
9
Law 26:10
Nanyi mtakula akiba ya zamani mliyoiweka siku nyingi, tena hayo ya zamani mtayatoa, ili myaweke yaliyo mapya.
Explore Law 26:10
10
Law 26:8
Na watu watano wa kwenu watawafukuza watu mia, na watu mia wa kwenu watawafukuza watu elfu kumi; na adui zenu wataanguka mbele yenu kwa upanga.
Explore Law 26:8
11
Law 26:5
Tena kupura nafaka kwenu kutaendelea hata wakati wa kuvuna zabibu, na kuvuna zabibu kutaendelea hata wakati wa kupanda mbegu; nanyi mtakula chakula chenu na kushiba, na kuketi katika nchi yenu salama.
Explore Law 26:5
12
Law 26:7
Nanyi mtawafukuza adui zenu, nao wataanguka mbele zenu kwa upanga.
Explore Law 26:7
13
Law 26:2
Zishikeni Sabato zangu, na kupastahi patakatifu pangu; mimi ndimi BWANA.
Explore Law 26:2
Home
Bible
Plans
Videos