1
Mt 10:16
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwa-mwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua.
Compare
Explore Mt 10:16
2
Mt 10:39
Mwenye kuiona nafsi yake ataipoteza; naye mwenye kuipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ataiona.
Explore Mt 10:39
3
Mt 10:28
Msiwaogope wauuao mwili, wasiweze kuiua na roho; afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika jehanum.
Explore Mt 10:28
4
Mt 10:38
Wala mtu asiyechukua msalaba wake akanifuata, hanistahili.
Explore Mt 10:38
5
Mt 10:32-33
Basi, kila mtu atakayenikiri mbele ya watu, nami nitamkiri mbele za Baba yangu aliye mbinguni. Bali mtu ye yote atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni.
Explore Mt 10:32-33
6
Mt 10:8
Pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure.
Explore Mt 10:8
7
Mt 10:31
Msiogope basi; bora ninyi kuliko mashomoro wengi.
Explore Mt 10:31
8
Mt 10:34
Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.
Explore Mt 10:34
Home
Bible
Plans
Videos