1
Mik 7:18
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Ni nani aliye Mungu kama wewe, mwenye kusamehe uovu, na kuliachilia kosa la watu wa urithi wake waliosalia? Hashiki hasira yake milele, kwa maana yeye hufurahia rehema.
Compare
Explore Mik 7:18
2
Mik 7:7
Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia.
Explore Mik 7:7
3
Mik 7:19
Atarejea na kutuhurumia; atayakanyaga maovu yetu; nawe utazitupa dhambi zao zote katika vilindi vya bahari.
Explore Mik 7:19
Home
Bible
Plans
Videos