1
Sef 2:3
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Mtafuteni BWANA, enyi nyote mlio wanyenyekevu wa dunia, ninyi mliozitenda hukumu zake; itafuteni haki, utafuteni unyenyekevu; huenda mtafichwa katika siku ya hasira ya BWANA.
Compare
Explore Sef 2:3
2
Sef 2:11
BWANA atakuwa mwenye kuwatisha sana; kwa maana atawafisha kwa njaa miungu yote ya dunia; na watu watamsujudia yeye, kila mtu toka mahali pake; naam, nchi zote za mataifa.
Explore Sef 2:11
Home
Bible
Plans
Videos