1
1 Mambo ya Nyakati 4:10
Swahili Revised Union Version
Huyo Yabesi akamlingana Mungu wa Israeli, akisema, Lau kwamba ungenibariki kweli kweli, na kuipanua mipaka yangu, na mkono wako ukawa pamoja nami, nawe ungenilinda nisipatwe na maovu wala madhara! Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.
Compare
Explore 1 Mambo ya Nyakati 4:10
2
1 Mambo ya Nyakati 4:9
Naye Yabesi alikuwa mwenye heshima kuliko nduguze; na mamaye akamwita Yabesi, akisema, Ni kwa sababu nilimzaa kwa huzuni.
Explore 1 Mambo ya Nyakati 4:9
Home
Bible
Plans
Videos