1
2 Mambo ya Nyakati 20:15
Swahili Revised Union Version
akasema, Sikieni, Yuda wote, nanyi mkaao Yerusalemu, na wewe mfalme Yehoshafati; BWANA awaambia hivi, Msiogope, wala msifadhaike kwa ajili ya jeshi kubwa hili; kwani vita si yenu bali ni ya Mungu.
Compare
Explore 2 Mambo ya Nyakati 20:15
2
2 Mambo ya Nyakati 20:17
Hamtahitaji kupigana vita, jipangeni, simameni, mkauone wokovu wa BWANA ulio pamoja nanyi, enyi Yuda na Yerusalemu; msiogope, wala msifadhaike; kesho tokeni juu yao; kwa kuwa BWANA yuko pamoja nanyi.
Explore 2 Mambo ya Nyakati 20:17
3
2 Mambo ya Nyakati 20:12
Ee Mungu wetu, je! Hutawahukumu? Maana sisi hatuna uwezo juu ya jamii kubwa hii, wanaotujia juu yetu; wala hatujui tufanyeje; lakini macho yetu yanatazama kwako.
Explore 2 Mambo ya Nyakati 20:12
4
2 Mambo ya Nyakati 20:21
Naye alipokwisha kufanya shauri na watu, akawaweka wale watakaomwimbia BWANA, na kumsifu katika uzuri wa utakatifu, wakitoka mbele ya jeshi, na kusema, Mshukuruni BWANA; kwa maana fadhili zake ni za milele.
Explore 2 Mambo ya Nyakati 20:21
5
2 Mambo ya Nyakati 20:22
Nao walipoanza kuimba na kusifu, BWANA akaweka waviziao juu ya Waamoni, na Moabu, na wa mlima Seiri, waliokuja kushambulia Yuda; nao wakapigwa.
Explore 2 Mambo ya Nyakati 20:22
6
2 Mambo ya Nyakati 20:3
Yehoshafati akaogopa, akauelekeza uso wake amtafute BWANA; akatangaza watu wote kufunga katika Yuda yote.
Explore 2 Mambo ya Nyakati 20:3
7
2 Mambo ya Nyakati 20:9
Yakitujia mabaya, upanga, hukumu, au tauni, au njaa, tutasimama mbele ya nyumba hii, na mbele zako, (maana jina lako limo katika nyumba hii), na kukulilia katika shida yetu, nawe utasikia na kuokoa.
Explore 2 Mambo ya Nyakati 20:9
8
2 Mambo ya Nyakati 20:16
Kesho shukeni juu yao; tazameni, wanakwea kwa kupandia Sisi; nanyi mtawapata penye mwisho wa bonde, mbele ya jangwa la Yerueli.
Explore 2 Mambo ya Nyakati 20:16
9
2 Mambo ya Nyakati 20:4
Yuda wakakusanyika pamoja ili wamtafute BWANA; hata kutoka miji yote ya Yuda wakaja kumtafuta BWANA.
Explore 2 Mambo ya Nyakati 20:4
Home
Bible
Plans
Videos