1
Matendo 16:31
Swahili Revised Union Version
Wakamwambia, Mwamini Bwana Yesu, nawe utaokoka pamoja na nyumba yako.
Compare
Explore Matendo 16:31
2
Matendo 16:25-26
Lakini ilipokuwa karibu usiku wa manane Paulo na Sila walikuwa wakimwomba Mungu na kumwimbia nyimbo za kumsifu, na wafungwa wengine walikuwa wakiwasikiliza. Ghafla pakawa tetemeko kuu la nchi, hata misingi ya gereza ikatikisika, na mara hiyo milango ikafunguka, vifungo vya wote vikalegezwa.
Explore Matendo 16:25-26
3
Matendo 16:30
kisha akawaleta nje akasema, Bwana zangu, yanipasa nifanye nini nipate kuokoka?
Explore Matendo 16:30
4
Matendo 16:27-28
Yule mlinzi wa gereza akaamka, naye alipoona ya kuwa milango ya gereza imefunguka, alifuta upanga, akataka kujiua, akidhani ya kuwa wafungwa wamekimbia. Ila Paulo akapaza sauti yake kwa nguvu, akisema, Usijidhuru, kwa maana sisi sote tuko hapa.
Explore Matendo 16:27-28
Home
Bible
Plans
Videos