1
Mhubiri 11:9
Swahili Revised Union Version
Wewe kijana, uufurahie ujana wako, na moyo wako ukuchangamshe siku za ujana wako, ukaziendee njia za moyo wako, na kinachotamaniwa na macho yako, lakini ujue wewe ya kwamba kwa ajili ya hayo yote Mungu atakuleta hukumuni.
Compare
Explore Mhubiri 11:9
2
Mhubiri 11:10
Kwa hiyo ondoa majonzi moyoni mwako, nawe uuondoe ubaya mwilini mwako; kwa maana ujana ni ubatili, na utu uzima pia.
Explore Mhubiri 11:10
3
Mhubiri 11:4
Mwenye kuuangalia upepo hatapanda; Naye ayatazamaye mawingu hatavuna.
Explore Mhubiri 11:4
4
Mhubiri 11:5
Kama vile wewe usipojua njia ya upepo ni ipi, wala jinsi mifupa ikuavyo tumboni mwake mja mzito; kadhalika huijui kazi ya Mungu, afanyaye mambo yote.
Explore Mhubiri 11:5
5
Mhubiri 11:6
Asubuhi panda mbegu zako, Wala jioni usiulegeze mkono wako. Kwa maana wewe hujui ni zipi zitakazofanikiwa, kama ni hii au hii, au kama zote zitafaa sawasawa.
Explore Mhubiri 11:6
6
Mhubiri 11:2
Uwagawie sehemu watu saba, hata wanane; Maana hujui baa gani litakalokuwa juu ya nchi.
Explore Mhubiri 11:2
Home
Bible
Plans
Videos