1
Yakobo 2:17
Swahili Revised Union Version
Vivyo hivyo na imani, isipokuwa ina matendo, imekufa nafsini mwake.
Compare
Explore Yakobo 2:17
2
Yakobo 2:26
Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa.
Explore Yakobo 2:26
3
Yakobo 2:14
Ndugu zangu, yafaa nini, mtu akisema ya kwamba anayo imani, lakini hana matendo? Je! Ile imani yaweza kumwokoa?
Explore Yakobo 2:14
4
Yakobo 2:19
Wewe waamini ya kuwa Mungu ni mmoja; watenda vema. Mashetani nao waamini na kutetemeka.
Explore Yakobo 2:19
5
Yakobo 2:18
Lakini mtu atasema, Wewe unayo imani, nami ninayo matendo. Nionyshe imani yako pasipo matendo, nami nitakuonesha imani yangu kwa njia ya matendo yangu.
Explore Yakobo 2:18
6
Yakobo 2:13
Maana hukumu haina huruma kwake yeye asiyeona huruma. Huruma hujitukuza juu ya hukumu.
Explore Yakobo 2:13
7
Yakobo 2:24
Mwaona kwamba mwanadamu huhesabiwa kuwa ana haki kwa matendo yake; si kwa imani peke yake.
Explore Yakobo 2:24
8
Yakobo 2:22
Waona kwamba imani ilitenda kazi pamoja na matendo yake, na ya kwamba imani ile ilikamilishwa kwa njia ya matendo yale.
Explore Yakobo 2:22
Home
Bible
Plans
Videos