1
Yakobo 4:7
Swahili Revised Union Version
Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia.
Compare
Explore Yakobo 4:7
2
Yakobo 4:8
Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu, enyi wenye nia mbili.
Explore Yakobo 4:8
3
Yakobo 4:10
Jidhilini mbele za Bwana, naye atawakuza.
Explore Yakobo 4:10
4
Yakobo 4:6
Lakini hutujalia sisi neema iliyozidi; kwa hiyo husema, Mungu huwapinga wajikuzao, bali huwapa neema wanyenyekevu.
Explore Yakobo 4:6
5
Yakobo 4:17
Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi.
Explore Yakobo 4:17
6
Yakobo 4:3
Hata mwaomba, wala hampati kwa sababu mwaomba vibaya, ili mvitumie kwa tamaa zenu.
Explore Yakobo 4:3
7
Yakobo 4:4
Enyi wazinzi, hamjui ya kwamba kuwa rafiki wa dunia ni kuwa adui wa Mungu? Basi kila atakaye kuwa rafiki wa dunia hujifanya kuwa adui wa Mungu.
Explore Yakobo 4:4
8
Yakobo 4:14
lakini hamjui yatakayokuwako kesho. Uzima wenu ni nini? Maana ninyi ni mvuke uonekanao kwa muda mfupi tu, kisha hutoweka.
Explore Yakobo 4:14
Home
Bible
Plans
Videos