1
Ufunuo 16:15
Swahili Revised Union Version
(Tazama, naja kama mwizi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.)
Compare
Explore Ufunuo 16:15
2
Ufunuo 16:12
Na huyo wa sita akalimimina bakuli lake juu ya mto ule mkubwa Frati; maji yake yakakauka, ili njia itengenezwe kwa wafalme watokao katika maawio ya jua.
Explore Ufunuo 16:12
3
Ufunuo 16:14
Hizo ndizo roho za mashetani, zifanyazo ishara, zitokazo na kuwaendea wafalme wa ulimwengu wote kuwakusanya kwa vita ya siku ile kuu ya Mungu Mwenyezi.
Explore Ufunuo 16:14
4
Ufunuo 16:13
Nikaona roho tatu za uchafu zilizofanana na vyura, zikitoka katika kinywa cha lile joka, na katika kinywa cha yule mnyama, na katika kinywa cha yule nabii wa uongo.
Explore Ufunuo 16:13
5
Ufunuo 16:9
Wanadamu wakaunguzwa na joto kali, nao wakalitukana jina la Mungu aliye na mamlaka juu ya mapigo hayo; wala hawakutubu wala kumpa utukufu.
Explore Ufunuo 16:9
6
Ufunuo 16:2
Akaenda huyo wa kwanza, akalimimina bakuli lake juu ya nchi; pakawa na jipu baya, bovu, juu ya wale watu wenye chapa ya huyo mnyama, na wale wenye kuisujudia sanamu yake.
Explore Ufunuo 16:2
7
Ufunuo 16:16
Wakawakusanya hadi mahali paitwapo kwa Kiebrania, Harmagedoni.
Explore Ufunuo 16:16
Home
Bible
Plans
Videos