1
Kutoka 19:5-6
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Sasa basi, kama mkiitii sauti yangu na kulishika agano langu, mtakuwa watu wangu wateule kati ya mataifa yote, maana dunia yote ni yangu. Mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’ Hayo ndiyo maneno utakayowaambia Waisraeli.”
Compare
Explore Kutoka 19:5-6
2
Kutoka 19:4
‘Nyinyi wenyewe mmeona nilivyowatenda Wamisri na jinsi nilivyowachukua kama tai anavyochukua watoto wake kwa mabawa, nikawaleta kwangu.
Explore Kutoka 19:4
Home
Bible
Plans
Videos