1
Walawi 18:22
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
“Kamwe usilale na mwanamume mwenzio kana kwamba ni mwanamke. Hilo ni chukizo.
Compare
Explore Walawi 18:22
2
Walawi 18:23
Kamwe usilale na mnyama ili usijitie najisi; mwanamume au mwanamke yeyote kamwe asifanye hivyo; kufanya hivyo ni upotovu.
Explore Walawi 18:23
3
Walawi 18:21
“Kamwe usimtoe mtoto wako yeyote kuwa sadaka kwa mungu Moleki maana kufanya hivyo utalikufuru jina langu mimi Mungu wako. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.
Explore Walawi 18:21
Home
Bible
Plans
Videos