1
Marko MT. 10:45
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Kwa maana Mwana wa Adamu nae hakuja kukhudumiwa bali kukhudumu, na kutoa roho yake iwe dia ya wengi.
Compare
Explore Marko MT. 10:45
2
Marko MT. 10:27
Yesu akawakazia macho, akanena, Kwa wana Adamu haiwezekani, bali kwa Mungu sivyo; maana yote yawezekana kwa Mungu.
Explore Marko MT. 10:27
3
Marko MT. 10:52
Yesu akamwambia, Enenda zako, imani yako imekuponya. Marra akapata kuona tena; akafuata Yesu njiani.
Explore Marko MT. 10:52
4
Marko MT. 10:9
Bassi alivyoviunganisha Mungu, mwana Adamu asivitenganishe.
Explore Marko MT. 10:9
5
Marko MT. 10:21
Yesu akamkazia macho, akampenda, akamwambia, Umepungukiwa neno moja Enenda, ukauze ulivyo navyo vyote, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni: ukiisha, njoo ukajitwike msalaba wako unifuate.
Explore Marko MT. 10:21
6
Marko MT. 10:51
Yesu akamjibu, akamwambia, Wataka nikufanyieni? Yule kipofu akamwambia, Rabbi, nipate kuona tena.
Explore Marko MT. 10:51
7
Marko MT. 10:43
Lakini haitakuwa hivi kwemi; bali mtu atakae kuwa mkubwa kwenu, atakuwa mkhudumu wenu
Explore Marko MT. 10:43
8
Marko MT. 10:15
Amin, nawaambieni, Yeye yote asiyeukubali nfalme wa Mungu kama mtoto mchanga hatauingia kabisa.
Explore Marko MT. 10:15
9
Marko MT. 10:31
Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho: na wa mwisho wa kwanza.
Explore Marko MT. 10:31
10
Marko MT. 10:6-8
Lakini tangu mwanzo wa kuumbwa ulimwengu, Mungu aliwafanya mtu mume na mtu mke. Kwa sababu hiyo mtu atamwacha baba yake na mama yake, ataambatana na mkewe: na hawo wawili watakuwa mwili mmoja; hatta wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja.
Explore Marko MT. 10:6-8
Home
Bible
Plans
Videos