1
1 Wakorintho 4:20
Biblia Habari Njema
Maana ufalme wa Mungu si shauri la maneno matupu, bali ni nguvu.
Compare
Explore 1 Wakorintho 4:20
2
1 Wakorintho 4:5
Basi, msihukumu kabla ya wakati wake; acheni mpaka Bwana atakapokuja. Yeye atayafichua mambo ya giza yaliyofichika, na kuonesha wazi nia za mioyo ya watu. Ndipo kila mmoja atapata sifa anayostahili kutoka kwa Mungu.
Explore 1 Wakorintho 4:5
3
1 Wakorintho 4:2
Kinachotakiwa kwa yeyote yule aliyekabidhiwa kazi ni kuwa mwaminifu.
Explore 1 Wakorintho 4:2
4
1 Wakorintho 4:1
Mtu na atuone sisi kuwa ni watumishi wa Kristo tuliokabidhiwa siri za Mungu.
Explore 1 Wakorintho 4:1
Home
Bible
Plans
Videos