1
Hesabu 12:8
Biblia Habari Njema
Mimi huongea naye ana kwa ana, waziwazi na si kwa kutumia mafumbo. Yeye huliona umbo langu mimi Mwenyezi-Mungu. Kwa nini, basi, hamkuogopa kusema vibaya dhidi ya mtumishi wangu Mose?”
Compare
Explore Hesabu 12:8
2
Hesabu 12:3
(Mose alikuwa mtu mnyenyekevu kuliko watu wengine wote waliokuwa duniani.)
Explore Hesabu 12:3
3
Hesabu 12:6
Kisha Mwenyezi-Mungu akawaambia, “Sikilizeni maneno yangu: Kama kuna nabii miongoni mwenu, mimi Mwenyezi-Mungu hujifahamisha kwake katika maono na kuongea naye katika ndoto.
Explore Hesabu 12:6
4
Hesabu 12:7
Lakini kumhusu mtumishi wangu Mose, hali ni tofauti kabisa. Yeye ana jukumu la kuwatunza watu wangu wote.
Explore Hesabu 12:7
Home
Bible
Plans
Videos