1
Methali 17:17
Biblia Habari Njema
Rafiki wa kweli ni rafiki siku zote, ndugu huzaliwa asaidie wakati wa taabu.
Compare
Explore Methali 17:17
2
Methali 17:22
Moyo mchangamfu ni dawa, bali moyo wenye huzuni hudhoofisha mwili.
Explore Methali 17:22
3
Methali 17:9
Anayesamehe makosa hujenga urafiki, lakini anayekumbusha makosa hutenga rafiki.
Explore Methali 17:9
4
Methali 17:27
Asiyesema sana ana maarifa; mtu mtulivu ni mwenye busara.
Explore Methali 17:27
5
Methali 17:28
Hata mpumbavu akinyamaza huonekana ana hekima; akifunga mdomo wake huonekana kuwa mwenye akili.
Explore Methali 17:28
6
Methali 17:1
Afadhali mkate mkavu kwa amani, kuliko karamu katika nyumba ya ugomvi.
Explore Methali 17:1
7
Methali 17:14
Kuanzisha ugomvi ni kama kufanya ufa kwenye bwawa; achana na ugomvi kabla haujafurika.
Explore Methali 17:14
8
Methali 17:15
Kumsamehe mwenye hatia na kumwadhibu asiye na hatia yote mawili ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu.
Explore Methali 17:15
Home
Bible
Plans
Videos