1
Zaburi 18:2
Biblia Habari Njema
Mwenyezi-Mungu ni mwamba wangu, ngome yangu na mkombozi wangu; Mungu wangu, mwamba wangu ninayemkimbilia usalama; ngao yangu, nguvu za wokovu wangu na ngome yangu.
Compare
Explore Zaburi 18:2
2
Zaburi 18:30
Huyu Mungu matendo yake hayana dosari! Ahadi ya Mwenyezi-Mungu ni ya kuaminika; yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia usalama.
Explore Zaburi 18:30
3
Zaburi 18:3
Namwita Mwenyezi-Mungu astahiliye sifa anisaidie, nami naokolewa kutoka kwa maadui zangu.
Explore Zaburi 18:3
4
Zaburi 18:6
Katika taabu yangu nilimwita Mwenyezi-Mungu, nilimlilia Mungu wangu anisaidie. Aliisikia sauti yangu hekaluni mwake; kilio changu kilimfikia masikioni mwake.
Explore Zaburi 18:6
5
Zaburi 18:28
Wewe ee Mwenyezi-Mungu, waniangazia; walifukuza giza langu, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu.
Explore Zaburi 18:28
6
Zaburi 18:32
Mungu ndiye anijaliaye nguvu kila upande; ndiye anayeifanya salama njia yangu.
Explore Zaburi 18:32
7
Zaburi 18:46
Mwenyezi-Mungu yu hai! Asifiwe mwamba wa usalama wangu; atukuzwe Mungu wa wokovu wangu.
Explore Zaburi 18:46
Home
Bible
Plans
Videos