YouVersion Logo
Search Icon

2 Wafalme 5:11

2 Wafalme 5:11 NEN

Lakini Naamani akaondoka akiwa amekasirika, akasema, “Hakika nilidhani kwamba angetoka nje, asimame na kuliitia jina la BWANA Mungu wake, na kuweka mkono wake juu ya mahali pagonjwa, aniponye ukoma wangu.

Video for 2 Wafalme 5:11