YouVersion Logo
Search Icon

Kutoka 37:1-2

Kutoka 37:1-2 NEN

Bezaleli akatengeneza Sanduku la mbao za mshita: urefu wake ulikuwa dhiraa mbili na nusu, upana wake dhiraa moja na nusu, na kimo chake dhiraa moja na nusu. Akalifunika kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulizungushia ukingo wa dhahabu.

Free Reading Plans and Devotionals related to Kutoka 37:1-2