YouVersion Logo
Search Icon

Yeremia 38:9-10

Yeremia 38:9-10 NEN

“Mfalme bwana wangu, watu hawa wamefanya uovu kwa yote waliomtendea nabii Yeremia. Wamemtupa ndani ya kisima, mahali ambapo atakufa kwa njaa wakati ambapo hakuna chakula popote katika mji.” Basi mfalme akamwamuru Ebed-Meleki Mkushi, akisema, “Chukua watu thelathini kutoka hapa pamoja nawe, mkamtoe nabii Yeremia huko kwenye kisima kabla hajafa.”

Video for Yeremia 38:9-10

Free Reading Plans and Devotionals related to Yeremia 38:9-10