YouVersion Logo
Search Icon

Yeremia 7:22-23

Yeremia 7:22-23 NENO

Kwa kuwa nilipowaleta baba zenu kutoka Misri na kusema nao, sikuwapa amri kuhusu sadaka za kuteketezwa na dhabihu tu, lakini niliwapa amri hii nikisema: Nitiini mimi, nami nitakuwa Mungu wenu nanyi mtakuwa watu wangu. Nendeni katika njia zote ninazowaamuru ili mpate kufanikiwa.

Free Reading Plans and Devotionals related to Yeremia 7:22-23