Zaburi 95:6-7
Zaburi 95:6-7 NENO
Njooni, tusujudu, tumwabudu, tupige magoti mbele za Mwenyezi Mungu Muumba wetu, kwa maana yeye ndiye Mungu wetu, na sisi ni watu wa malisho yake, kondoo chini ya utunzaji wake.
Njooni, tusujudu, tumwabudu, tupige magoti mbele za Mwenyezi Mungu Muumba wetu, kwa maana yeye ndiye Mungu wetu, na sisi ni watu wa malisho yake, kondoo chini ya utunzaji wake.