YouVersion Logo
Search Icon

Kut 15:23-25

Kut 15:23-25 SUV

Walipofika mahali palipoitwa Mara hawakupata kuyanywa yale maji ya Mara, kwa kuwa yalikuwa machungu; kwa ajili ya hayo jina lake likaitwa Mara. Ndipo watu wakamnung’unikia Musa, wakisema, Tunywe nini? Naye akamlilia BWANA; BWANA akamwonyesha mti, naye akautia katika hayo maji, maji yakawa matamu. Basi akawawekea amri na hukumu huko, akawaonja huko