YouVersion Logo
Search Icon

Ezr 2:68-69

Ezr 2:68-69 SUV

Na baadhi ya wakuu wa mbari za baba zao, hapo walipoifikilia nyumba ya BWANA, iliyoko Yerusalemu, walitoa mali kwa ukarimu kwa ajili ya nyumba ya Mungu, ili kuisimamisha mahali pake; wakatoa kadiri walivyoweza, na kutia katika hazina ya kazi hiyo, darkoni za dhahabu sitini na moja elfu, na mane za fedha elfu tano, na mavazi mia ya makuhani.

Video for Ezr 2:68-69

Free Reading Plans and Devotionals related to Ezr 2:68-69