YouVersion Logo
Search Icon

2 Wathesalonike 2:16-17

2 Wathesalonike 2:16-17 SRUV

Na Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe, na Mungu Baba yetu, aliyetupenda akatupa faraja ya milele na tumaini jema, katika neema, awafariji mioyo yenu, na kuwafanya imara katika kila neno na tendo jema.

Video for 2 Wathesalonike 2:16-17