YouVersion Logo
Search Icon

Kutoka 37:1-2

Kutoka 37:1-2 SRUV

Kisha Bezaleli akalifanya lile sanduku la mti wa mshita, urefu wake ulikuwa dhiraa mbili na nusu, na upana wake ulikuwa dhiraa moja na nusu, na kwenda juu kwake kulikuwa ni dhiraa moja na nusu; akalifunika dhahabu safi, ndani na nje, akafanya na ukingo wa dhahabu kulizunguka pande zote.

Free Reading Plans and Devotionals related to Kutoka 37:1-2