YouVersion Logo
Search Icon

Ezekieli 2:7-8

Ezekieli 2:7-8 SRUV

Nawe utawaambia maneno yangu, iwe watasikia au hawataki kusikia; maana hao wanaasi sana. Bali wewe, mwanadamu, sikia neno hili ninalokuambia; usiwe wewe mwenye kuasi kama nyumba ile yenye kuasi; funua kinywa chako, ule nikupacho.

Video for Ezekieli 2:7-8