YouVersion Logo
Search Icon

Yakobo 1:23-24

Yakobo 1:23-24 SRUV

Kwa sababu mtu akiwa ni msikiaji wa neno tu, wala si mtendaji, mtu huyo ni kama mtu anayejiangalia uso wake katika kioo. Maana hujiangalia, kisha huenda zake, mara akasahau jinsi alivyo.