Zaburi 100
100
Nchi zote zaitwa kumsifu Mungu
Zaburi ya Shukrani.
1Mshangilieni BWANA, enyi nchi zote;
2Mtumikieni BWANA kwa furaha;
Njoni mbele zake mkiimba;
3 #
Ayu 10:8,9; Mhu 12:1; Efe 2:10; Eze 34:30 Jueni kwamba BWANA ndiye Mungu;
Ndiye aliyetuumba na sisi tu watu wake;
Tu watu wake, na kondoo wa malisho yake.
4Ingieni malangoni mwake kwa shukrani;
Nyuani mwake kwa kusifu;
Mshukuruni, lihimidini jina lake;
5 #
1 Nya 16:34; 2 Nya 5:13; 7:3; Ezr 3:11; Zab 106:1; 107:1; 118:1; 136:1; Yer 33:11 Maana BWANA ni mwema;
Rehema zake ni za milele;
Na uaminifu wake katika vizazi vyote.
Currently Selected:
Zaburi 100: SRUV
Highlight
Share
Copy
Want to have your highlights saved across all your devices? Sign up or sign in
Swahili Revised Union Version Bible © Bible Society of Kenya, and Bible Society of Tanzania, 2005.
Zaburi 100
100
Nchi zote zaitwa kumsifu Mungu
Zaburi ya Shukrani.
1Mshangilieni BWANA, enyi nchi zote;
2Mtumikieni BWANA kwa furaha;
Njoni mbele zake mkiimba;
3 #
Ayu 10:8,9; Mhu 12:1; Efe 2:10; Eze 34:30 Jueni kwamba BWANA ndiye Mungu;
Ndiye aliyetuumba na sisi tu watu wake;
Tu watu wake, na kondoo wa malisho yake.
4Ingieni malangoni mwake kwa shukrani;
Nyuani mwake kwa kusifu;
Mshukuruni, lihimidini jina lake;
5 #
1 Nya 16:34; 2 Nya 5:13; 7:3; Ezr 3:11; Zab 106:1; 107:1; 118:1; 136:1; Yer 33:11 Maana BWANA ni mwema;
Rehema zake ni za milele;
Na uaminifu wake katika vizazi vyote.
Currently Selected:
:
Highlight
Share
Copy
Want to have your highlights saved across all your devices? Sign up or sign in
Swahili Revised Union Version Bible © Bible Society of Kenya, and Bible Society of Tanzania, 2005.