YouVersion Logo
Search Icon

Matendo ya Mitume 5:38-39

Matendo ya Mitume 5:38-39 SWC02

Na sasa mimi ninawashauria ninyi, musiwafuatilie watu hawa, muwaache wajiendee. Kwa maana ikiwa mupango huu na hii kazi yao vimeanzishwa na mwanadamu, sherti vitaharibika. Lakini ikiwa vimeanzishwa na Mungu, hamutaweza kuwazuiza. Basi mujiangalie vizuri musikuje kuonekana kuwa munapigana na Mungu!”

Video for Matendo ya Mitume 5:38-39