Rom 10:11-13
Rom 10:11-13 SCLDC10
Maandiko Matakatifu yasema: “Kila anayemwamini hataaibishwa.” Jambo hili ni kwa wote, kwani hakuna tofauti kati ya Wayahudi na wasio Wayahudi; Bwana wa wote ni mmoja, naye ni mkarimu sana kwao wote wamwombao. Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.”



![[Who's Your One? Series] Heaven or Hell Rom 10:11-13 BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapistaging.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans-staging%2F19467%2F1440x810.jpg&w=3840&q=75)

