YouVersion Logo
Search Icon

Rom 10:11-13

Rom 10:11-13 SCLDC10

Maandiko Matakatifu yasema: “Kila anayemwamini hataaibishwa.” Jambo hili ni kwa wote, kwani hakuna tofauti kati ya Wayahudi na wasio Wayahudi; Bwana wa wote ni mmoja, naye ni mkarimu sana kwao wote wamwombao. Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.”

Video for Rom 10:11-13

Free Reading Plans and Devotionals related to Rom 10:11-13