2 Mose 13:17
2 Mose 13:17 SRB37
Farao alipokwisha kuwapa hawa watu ruhusa kwenda zao, Mungu hakuwashikisha njia ya kupita katika nchi ya wafilisti iliyokuwa fupi, kwani Mungu alisema: Labda watu hawa watageuza miyo kwa kuona vita, warudi Misri.
Farao alipokwisha kuwapa hawa watu ruhusa kwenda zao, Mungu hakuwashikisha njia ya kupita katika nchi ya wafilisti iliyokuwa fupi, kwani Mungu alisema: Labda watu hawa watageuza miyo kwa kuona vita, warudi Misri.