YouVersion Logo
Search Icon

Yeremia 37:17

Yeremia 37:17 BHN

mfalme Sedekia alimwita na kumkaribisha kwake. Mfalme akamwuliza kwa faragha wakiwa nyumbani mwake; “Je, kuna neno lolote kutoka kwa Mwenyezi-Mungu?” Yeremia akamjibu, “Naam! Lipo!” Kisha akaendelea kusema, “Wewe utatiwa mikononi mwa mfalme wa Babuloni.”

Free Reading Plans and Devotionals related to Yeremia 37:17