Yona UTANGULIZI
UTANGULIZI
Tofauti sana na vitabu vingine vya manabii, kitabu cha Yona ni simulizi. Kinasimulia habari za nabii mmoja ambaye anatajwa mara moja tu katika A.K. katika (2Fal 14:25). Yona anajaribu kwanza kukwepa wito wa Mungu na baadaye ananung'unika kwamba alipofuata wito huo wa kwenda kuhubiri, yalipatikana mafanikio ambayo hakuyatazamia. Waninewi walitubu, naye Yona hakupendezwa. Fundisho kubwa: Mungu mwenyewe anaongoza wasemaji wake bila ya wao kutaka. Pili: Binadamu hawezi kumwekea Mungu mipaka ya upendo wake kwa watu wake.
Currently Selected:
Yona UTANGULIZI: BHN
Highlight
Share
Copy
Want to have your highlights saved across all your devices? Sign up or sign in
Biblia Habari Njema kwa Watu Wote (Yenye Vitabu vya Deuterokanoni): Tafsiri ya Ushirikiano wa Makanisa (BHN): Hakimiliki -1995, 2001: kwa Chama cha Biblia cha Tanzania na Chama cha Biblia cha Kenya. Haki zote zimehifadhiwa.
Yona UTANGULIZI
UTANGULIZI
Tofauti sana na vitabu vingine vya manabii, kitabu cha Yona ni simulizi. Kinasimulia habari za nabii mmoja ambaye anatajwa mara moja tu katika A.K. katika (2Fal 14:25). Yona anajaribu kwanza kukwepa wito wa Mungu na baadaye ananung'unika kwamba alipofuata wito huo wa kwenda kuhubiri, yalipatikana mafanikio ambayo hakuyatazamia. Waninewi walitubu, naye Yona hakupendezwa. Fundisho kubwa: Mungu mwenyewe anaongoza wasemaji wake bila ya wao kutaka. Pili: Binadamu hawezi kumwekea Mungu mipaka ya upendo wake kwa watu wake.
Currently Selected:
:
Highlight
Share
Copy
Want to have your highlights saved across all your devices? Sign up or sign in
Biblia Habari Njema kwa Watu Wote (Yenye Vitabu vya Deuterokanoni): Tafsiri ya Ushirikiano wa Makanisa (BHN): Hakimiliki -1995, 2001: kwa Chama cha Biblia cha Tanzania na Chama cha Biblia cha Kenya. Haki zote zimehifadhiwa.