Obadia UTANGULIZI
UTANGULIZI
Kijitabu hiki cha nabii Obadia ni kidogo kuliko vitabu vyote vya manabii. Unabii wa Obadia unahusu mambo mawili: Adhabu ya Edomu (aya 1-14), na “Siku ya Mwenyezi-Mungu” ambapo Waisraeli watalipiza kisasi watu wa Edomu (aya 15-21). Labda kijitabu hiki kiliandikwa huko Yuda muda mfupi kabla ya kurudi kutoka uhamishoni.
Currently Selected:
Obadia UTANGULIZI: BHN
Highlight
Share
Copy
Want to have your highlights saved across all your devices? Sign up or sign in
Biblia Habari Njema kwa Watu Wote (Yenye Vitabu vya Deuterokanoni): Tafsiri ya Ushirikiano wa Makanisa (BHN): Hakimiliki -1995, 2001: kwa Chama cha Biblia cha Tanzania na Chama cha Biblia cha Kenya. Haki zote zimehifadhiwa.
Obadia UTANGULIZI
UTANGULIZI
Kijitabu hiki cha nabii Obadia ni kidogo kuliko vitabu vyote vya manabii. Unabii wa Obadia unahusu mambo mawili: Adhabu ya Edomu (aya 1-14), na “Siku ya Mwenyezi-Mungu” ambapo Waisraeli watalipiza kisasi watu wa Edomu (aya 15-21). Labda kijitabu hiki kiliandikwa huko Yuda muda mfupi kabla ya kurudi kutoka uhamishoni.
Currently Selected:
:
Highlight
Share
Copy
Want to have your highlights saved across all your devices? Sign up or sign in
Biblia Habari Njema kwa Watu Wote (Yenye Vitabu vya Deuterokanoni): Tafsiri ya Ushirikiano wa Makanisa (BHN): Hakimiliki -1995, 2001: kwa Chama cha Biblia cha Tanzania na Chama cha Biblia cha Kenya. Haki zote zimehifadhiwa.