1
Yohana 14:27
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Amani nawaachia; amani yangu nawapa. Amani hii ninayowapa si kama ile ulimwengu unatoa. Msifadhaike mioyoni mwenu, wala msiogope.
Compara
Explorar Yohana 14:27
2
Yohana 14:6
Isa akawaambia, “Mimi ndimi njia na kweli na uzima. Mtu hawezi kuja kwa Baba isipokuwa kupitia kwangu.
Explorar Yohana 14:6
3
Yohana 14:1
Isa akawaambia, “Msifadhaike mioyoni mwenu. Mnamwamini Mungu, mniamini pia.
Explorar Yohana 14:1
4
Yohana 14:26
Lakini huyo Msaidizi, yaani huyo Roho Mtakatifu wa Mungu, ambaye Baba atamtuma kwenu kwa Jina langu, atawafundisha mambo yote na kuwakumbusha yote niliyowaambia.
Explorar Yohana 14:26
5
Yohana 14:21
Yeyote mwenye amri zangu na kuzishika ndiye anipendaye. Naye anipendaye atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda na kujidhihirisha kwake.”
Explorar Yohana 14:21
6
Yohana 14:16-17
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine akae nanyi milele. Huyo ndiye Roho wa kweli ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa sababu haumwoni wala haumjui. Ninyi mnamjua kwa kuwa yuko pamoja nanyi, naye anakaa ndani yenu.
Explorar Yohana 14:16-17
7
Yohana 14:13-14
Nanyi mkiomba lolote kwa Jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba apate kutukuzwa katika Mwana. Mkiniomba lolote kwa Jina langu, nitalifanya.
Explorar Yohana 14:13-14
8
Yohana 14:15
“Kama mnanipenda, mtazishika amri zangu.
Explorar Yohana 14:15
9
Yohana 14:2
Nyumbani mwa Baba yangu kuna makao mengi. Kama sivyo, ningewaambia. Naenda kuwaandalia makao.
Explorar Yohana 14:2
10
Yohana 14:3
Nami nikienda na kuwaandalia makao, nitarudi tena na kuwachukua mkae pamoja nami, ili mahali nilipo nanyi mpate kuwepo.
Explorar Yohana 14:3
11
Yohana 14:5
Tomaso akamwambia, “Bwana, sisi hatujui unakoenda, tutaijuaje njia?”
Explorar Yohana 14:5
Inici
La Bíblia
Plans
Vídeos