1
Matendo 10:34-35
Swahili Revised Union Version
Petro akafumbua kinywa chake, akasema, Hakika natambua ya kuwa Mungu hana upendeleo; bali katika kila taifa mtu amchaye na kutenda haki hukubaliwa na yeye.
Compara
Explorar Matendo 10:34-35
2
Matendo 10:43
Huyo manabii wote humshuhudia, ya kwamba kwa jina lake kila amwaminiye atapata ondoleo la dhambi.
Explorar Matendo 10:43
Inici
La Bíblia
Plans
Vídeos