1
Luka MT. 11:13
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Bassi, ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu vipawa vyema, Baba aliye mbinguni, je! hatazidi na kuwapa wote wamwombao Roho Mtakatifu?
Compara
Explorar Luka MT. 11:13
2
Luka MT. 11:9
Nami nawaambia ninyi, Ombeni na mtapewa: tafuteni na mtapata: bisheni na mtafunguliwa.
Explorar Luka MT. 11:9
3
Luka MT. 11:10
Kwa sababu killa aombae hupewa: nae atafutae hupata: nae abishae hufunguliwa.
Explorar Luka MT. 11:10
4
Luka MT. 11:2
Akawaambia, Msalipo, semeni: Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako takatifu litukuzwe.
Explorar Luka MT. 11:2
5
Luka MT. 11:4
Utupe leo riziki zetu. Utusamehe dhambi zetu, kwa maana sisi nasi tunamsamehe killa mtu anaewiwa nasi. Usituingize majaribuni, hali utuokoe na yule mwovu.
Explorar Luka MT. 11:4
6
Luka MT. 11:3
Ufalme wako uje. Mapenzi yako yatimizwe, kama mbinguni, kadhalika duniani.
Explorar Luka MT. 11:3
7
Luka MT. 11:34
Taa ya mwili ni jicho, bassi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote nna nuru, lakini jicho lako likiwa ovu, mwili wako nao una giza.
Explorar Luka MT. 11:34
8
Luka MT. 11:33
Hapana mtu awashae taa na kuiweka mahali pa siri au chini va pishi, bali huiweka juu ya kibao cha kuwekea taa: illi waingiao wanone mwanga.
Explorar Luka MT. 11:33
Inici
La Bíblia
Plans
Vídeos